
Taarifa kuhusu Bidhaa za Uvuvi kutoka Tanzania zinazohitajika kwa wingi katika soko la China
12/5/2022
0:00
10:08
Taarifa kuhusu bidhaa za uvuvi (wild aquatic products) zinazohitajika kwa wingi katika soko la China na utaratibu wa kujisajili ili kuuza China kufuatia mkataba uliosainiwa wakati wa Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Samia Suluhu Hassan nchini China
More episodes from "Tanzania Embassy Beijing Podcast"
Don't miss an episode of “Tanzania Embassy Beijing Podcast” and subscribe to it in the GetPodcast app.