Tanzania Embassy Beijing Podcast podcast

Taarifa kuhusu Bidhaa za Uvuvi kutoka Tanzania zinazohitajika kwa wingi katika soko la China

0:00
10:08
Rewind 15 seconds
Fast Forward 15 seconds
Taarifa kuhusu bidhaa za uvuvi (wild aquatic products) zinazohitajika kwa wingi katika soko la China na utaratibu wa kujisajili ili kuuza China kufuatia mkataba uliosainiwa wakati wa Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Samia Suluhu Hassan nchini China

More episodes from "Tanzania Embassy Beijing Podcast"