
Hotuba ya Balozi Mbelwa Kairuki katika Jukwaa la Imperial Springs International Forum
12/7/2021
0:00
7:14
Balozi Kairuki aiomba Jumuiya ya kimataifa kushirikiana katika kulikabili janga la UVIKO19 badala ya kuyabagua mataifa ya Afrika yaliyoiwezesha dunia kufahamu aina mpya ya kirusi cha UVIKO19 (OMICRON). Rai ameitoa katika Mkutano wa Kimataifa wa Mwaka 2021 wa Imperial Springs uliofanyika jijini Guangzhou
More episodes from "Tanzania Embassy Beijing Podcast"
Don't miss an episode of “Tanzania Embassy Beijing Podcast” and subscribe to it in the GetPodcast app.