SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo

0:00
13:35
Rewind 15 seconds
Fast Forward 15 seconds
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.

More episodes from "SBS Swahili - SBS Swahili"