SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Ongezeko ya bei ya mafuta yalazimisha serikali izingatie hatua zakufanyia kazi nyumbani

0:00
6:35
Rewind 15 seconds
Fast Forward 15 seconds
Hatua za kufanyia kazi nyumbani zinaweza wasilishwa lakini mgao wa mafuta hauzingatiwi, na viongozi wanaohudhuria mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo kuhusu mgogoro wa mafuta.

More episodes from "SBS Swahili - SBS Swahili"