SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Vituo na Wasambazaji kupewa faini ya milioni $100 wakiongeza bei ya mafuta kwa njia bandia

0:00
14:18
Spola tillbaka 15 sekunder
Spola framåt 15 sekunder
Vituo vya mafuta na wasambazaji watakaopatikana wakiongeza bei kutokana na vita vya Mashariki ya Kati watakabiliwa na adhabu mpya kali.

Fler avsnitt från "SBS Swahili - SBS Swahili"