SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo

0:00
13:35
Spola tillbaka 15 sekunder
Spola framåt 15 sekunder
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.

Fler avsnitt från "SBS Swahili - SBS Swahili"