SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Makala leo: Afueni kwa madereva wanaokabiliwa na matatizo baada ya serikali kupunguza ushuru wa mafuta

0:00
10:34
Reculer de 15 secondes
Avancer de 15 secondes
Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.

D'autres épisodes de "SBS Swahili - SBS Swahili"