SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo

0:00
13:35
Spol 15 sekunder tilbage
Spol 15 sekunder frem
Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.

Flere episoder fra "SBS Swahili - SBS Swahili"