SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari: Ongezeko ya bei ya mafuta yalazimisha serikali izingatie hatua zakufanyia kazi nyumbani

0:00
6:35
Spol 15 sekunder tilbage
Spol 15 sekunder frem
Hatua za kufanyia kazi nyumbani zinaweza wasilishwa lakini mgao wa mafuta hauzingatiwi, na viongozi wanaohudhuria mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo kuhusu mgogoro wa mafuta.

Flere episoder fra "SBS Swahili - SBS Swahili"