SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

0:00
7:29
Rewind 15 seconds
Fast Forward 15 seconds
Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.

More episodes from "SBS Swahili - SBS Swahili"