SBS Swahili - SBS Swahili podcast

Taarifa ya Habari 17 Machi 2025

0:00
6:16
Rewind 15 seconds
Fast Forward 15 seconds
Waziri Mkuu na kiongozi wa zamani wa chama cha Liberals Malcolm Turnbull, amesema hadhani Australia inastahili endelea mbele na ushirikiano wa AUKUS, ametoa maoni hayo wakati wasiwasi una ongezeka iwapo mkataba huo uta tekelezwa chini ya muhula wa pili wa uongozi wa Trump.

More episodes from "SBS Swahili - SBS Swahili"